Tume ya Uchaguzi ya Taifa imetangaza kuahirisha uchaguzi mdogo wa Madiwani
uliokuwa ufanyike tarehe *30.06.2013 *katika Kata nne -Elerai, Themi,
Kaloleni, Kimandolu- za halmashauri ya Manispaa ya Arusha.
Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema badala yake
uchaguzi huo utafanyika tarehe *14 Julai 2013.*
Amesema sababu kubwa ya kuahirisha tena uchaguzi huo ni kuwapa wananchi
muda wa wiki mbili zaidi za kutulia kutokana na taharuki iliyotokea katika
mkoa huo siku chache zilizopita, hali ambayo inaweza kuathiri upigaji kura
na matokeo.
Uchaguzi huo awali ulipangwa... more » Tume ya Uchaguzi yaahirisha uchaguzi wa Madiwani Arusha Soma Habarihii Hapa
Tume ya Uchaguzi ya Taifa imetangaza kuahirisha uchaguzi mdogo wa Madiwani
uliokuwa ufanyike tarehe *30.06.2013 *katika Kata nne -Elerai, Themi,
Kaloleni, Kimandolu- za halmashauri ya Manispaa ya Arusha.
Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema badala yake
uchaguzi huo utafanyika tarehe *14 Julai 2013.*
Amesema sababu kubwa ya kuahirisha tena uchaguzi huo ni kuwapa wananchi
muda wa wiki mbili zaidi za kutulia kutokana na taharuki iliyotokea katika
mkoa huo siku chache zilizopita, hali ambayo inaweza kuathiri upigaji kura
na matokeo.
Uchaguzi huo awali ulipangwa... more »
Post a Comment